The rate of hair growth is influenced by a combination of things such as genetics and iron count. One may wonder how to grow hair faster while considering all these factors. Applying some simple home remedies can be a great solution.
According to The American Academy of Dermatology Association, normal hair grows six inches annually. However, it may seem to take longer for some people, hence the need to apply various simple home remedies. Read More...
-Ikulu ya Rais ililazimika kuomba msamaha baada ya mmoja wanaotumia akaunti ya ikulu kumtusi wakili mashihuri Donald B. Kipkorir
-Baada ya saa moja, wakili Kipkorir aliwapigia wanaohusika akikata kushtaki jamaa aliyemtusi kwenye akaunti ya Twitter wa mawasiliano ya ikulu
-Akaunti hiyo ilimwita wakili huyo binti wa kujishaua, mwashishi wa umma, maarufu kama soshiolaiti baaada ya wakili huo kulalamikia kudorora kwa ufahari wa mtaa wa Karen
Kitengo cha mawasiliano ya Rais kimemwomba radhi wakili Donald Kipkorir kutokana na kipachiko chao cha Twitter kilichomkera wakili huyo siku ya Jumanne, Desemba 12. Read More...