Sinema ya bwerere ilizuka katika baa moja mtaani Makongeni, Thika baada ya demu kukatizwa starehe na wazazi wake.
Duru zinaarifu kuwa mrembo huyo alikuwa kwenye baa akiponda raha na marafiki zake akitumia hela alizokuwa amekopa kutoka benkini.
Kulingana na Taifa Leo, mrembo alikuwa amechafua meza kwa aina mbali mbali ya vileo huku katikati kukiwa na nyama ya mbuzi.
“Weita ikiwezekana leta kreti mbi I za pombe zikae tu hapa. Leo ninataka kuwachafua marafiki zangu. Read More...
ADVERTISEMENT
April 25, 2018 12:45 PM Recommended articles JOIN OUR PULSE COMMUNITY! Get our Top Stories delivered to your inbox Welcome to the Pulse Community! We will now be sending you a daily newsletter on news, entertainment and more. Also join us across all of our other channels - we love to be connected!
Unblock notifications in browser settings.
ADVERTISEMENT
Next story
' : ''); div.querySelectorAll('.adSlot').forEach(adSlot => { adSlot. Read More...
UPDATE – In an unusual move, SAG-AFTRA has notified members that they have the right to withdraw from scenes requiring nudity or participation in “graphic sexual situations” on the set of HBO‘s “Westworld. Read More...